The Pandora Box.
Mwanaume aliekuwa mbele yao alikuwa ni Robert Eliasi Mbilu mtoto wa mheshimiwa rais anaemaliza muda wake.
Amosi na Dastani wote walikuwa wakifahamiana vizuri na Robert , kitu pekee ambacho hawakukijua ndio maana walishikwa na mshangao wa kumuona ndani ya eneo hilo ni kuhusu Robert kumpenda sana Dina , lakini hata hivyo akaishia kumpoteza mara baada ya kubeti na Hamza
“Kanali na wewe …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments