Reader Settings

The Pandora Box.

Mwanaume aliekuwa mbele yao alikuwa ni Robert Eliasi Mbilu mtoto wa mheshimiwa rais anaemaliza muda wake.

Amosi na Dastani wote walikuwa wakifahamiana vizuri na Robert , kitu pekee ambacho hawakukijua ndio maana walishikwa na mshangao wa kumuona ndani ya eneo hilo ni kuhusu Robert kumpenda sana Dina , lakini hata hivyo akaishia kumpoteza mara baada ya kubeti na Hamza

“Kanali na wewe …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next