Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

The Pandora Box.

Mwanaume aliekuwa mbele yao alikuwa ni Robert Eliasi Mbilu mtoto wa mheshimiwa rais anaemaliza muda wake.

Amosi na Dastani wote walikuwa wakifahamiana vizuri na Robert , kitu pekee ambacho hawakukijua ndio maana walishikwa na mshangao wa kumuona ndani ya eneo hilo ni kuhusu Robert kumpenda sana Dina , lakini hata hivyo akaishia kumpoteza mara baada ya kubeti na Hamza

“Kanali na wewe …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next