Kilichomfanya Hamza kuona kuna kitu ambacho hakipo sawa ni kwamba ile simu ya tukio la ufunguzi wa Albamu alimshuhudia Saidi akimfukuza Salma waziwazi na kumwambia wamemalizana , sasa alijiuliza imekuwaje tena wakataka kufunga ndoa mwezi ujao.
“Inamaana Salma na Saidi wamerudiana mpaka kufikia maamuzi ya kufunga ndoa?”Aliuliza Hamza.
“Ni kawaida kwa wapenzi kugombana na kupatana , usije ukasema Saidi ndio amehusika katika hili , Saidi …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments