Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

Kilichomfanya Hamza kuona kuna kitu ambacho hakipo sawa ni kwamba ile simu ya tukio la ufunguzi wa Albamu alimshuhudia Saidi akimfukuza Salma waziwazi na kumwambia wamemalizana , sasa alijiuliza imekuwaje tena wakataka kufunga ndoa mwezi ujao.

“Inamaana Salma na Saidi wamerudiana mpaka kufikia maamuzi ya kufunga ndoa?”Aliuliza Hamza.

“Ni kawaida kwa wapenzi kugombana na kupatana , usije ukasema Saidi ndio amehusika katika hili , Saidi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next