Afande Musiba alikuwa mwenye sura ya kutotetereka, na alizidi kuwa mkali mara baada ya kuulizwa swali hilo.
“Iwe nimemuona au sijamuona, hilo halinihusu kabisa,” aliongea kwa ukali.
“Kwanini? Ingawa ni vigumu kumweleza Hamza kilichotokea, lakini damu ni nzito kuliko maji… na baba pia anaonekana ku..”
“Jambo la pili...” aliongea Afande Musiba huku akimkatisha Afande Simba, akimwangalia kwa macho makali.
“Mimi, Musiba, nina mtoto mmoja tu, …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments