Jimmy kwa maneno alikuwa ni mtu mwingine kabisa, alikuwa anajua sana kuchambua maneno na wa wapi pa kupigilia msumari na hiyo ni moja kati ya Sifa alizonazo yaani 'talkative'
Japokuwa aliongea kama mzee mwenye busara na hekima nyingi lakini kwa Mzube ilionekana kama anatukanwa na hilo lilizidi kumkasirisha. Wenzake walijitahidi sana kujizuia wasicheke maana ilikuwa ni wazi maneno yale yalimwingia kisawasawa
Mzube alipandwa na …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments