Reader Settings

WHATSAPP: 0621567672

UKURASA WA KUMI NA TATU

"Yes baada ya uchunguzi mzito wa muda mrefu tulikuja kugundua kwamba raisi ndiye mtu ambaye alikuwa amewapa kibali watu hao cha kufanya mambo ikiwa nayeye alikuwa mnufaika mkubwa wa kile ambacho kilikuwa kinaendelea kule hivyo tuliandaa mpango akauawa kisha baadae tukampenyeza raisi mwingine madarakani ambaye yupo mpaka saivi"

"Subiri kwanza huyo raisi anaye zungumziwa …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next