Reader Settings

Profesa Clark wakati Roma anafika aliteleza na kugonga kwenye kabati lakuhifadhia vitabu pamoja na vifaa vya kufanyia majaribio.

Roma baada ya kuingia ndani alishangaa kumkuta chini na vitabu vikiwa vimesambaa , ilionyesha alikuwa akisoma baadhi ya tafiti ambazo ziliachwa na Profesa Shelukindo.

Profesa Clark alikuwa amevalia miwani ndogo ya kusomea pamoja na gauni la kulalia , mwonekano wake na namna nywele zilivochanguka na …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next