Edna mara baada ya kupewa taarifa ya kuitwa na Roma hakukawia kwani hata hivyo gauni alishajaribisha hivyo angesubiri kuvaa kesho siku ya harusi.
“Vipi ulikuwa unasemaje” Aliongea Edna mara baada ya kumfikia Roma aliekuwa amesimama nje ya gari dogo kampuni ya Fyatt.
“Naelekea mlimani kwa ajili ya kumtembelea Seventeen”Aliongea Roma na kumfanya Edna moyo wake kwenda mbio.
“Unamaanisha nini kwenda kumtembelea?”
…Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments