Reader Settings

SEHEMU YA 501.

Siku iliofuata kila mmoja alibeba begi lake na safari ikaanza rasmi , kabla ya kuondoka Roma alibeba makaa ya kuni zilizoungua na kuweka kwenye begi lake na kumfanya Mage kushangazwa na jambo hilo.

“Hubby si utachoka sana , kwanini unabeba hayo makaa , tunaweza kutokuwa na chakula lakini kuwasha moto njiani ni rahisi kwani tuna kiberiti”..

Tokea waanze safari alikuwa hajazoea kumwita

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 10 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next