Reader Settings

Ifahamike, ili kuweza kuvuna nishati, lazima kwanza uanze kuvuna nguvu za kiroho. Kadri nguvu zako za kiroho zinavyokuwa kubwa, ndivyo uwezo wako wa ufunuo wa kutumia nishati unapoanzia.

Hamza hakuwa mvuna nishati, hivyo maana yake hakuwa na nguvu za kiroho za kuvuna. Bali alikuwa na uwezo wa kutumia nishati za mbingu na ardhi kwa njia ya kusudio, hivyo mbele ya Haeji hakuwa katika hatari kubwa.

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 2 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next