Reader Settings

TABATA TANZANIA

Kilicho mshtua na kumshangaza sana Jiti Maalimu sio kwa sababu watu hao walifanikiwa kumjua yeye kama usalama wa taifa wala kuhitaji taarifa fulani alijua wazi vigogo wengi huwa wanawapenyeza watu wao ili kujinufaisha wao wenyewe hususani wanapo hitaji kufanya mambo yao ya siri bila kushtukiwa na mtu yeyote huwa wanawatumia sana watu hao ambao wengi kwao pesa huwa ni kipaumbele kikubwa …

Mchangie mwandishi kwa kuifungua na sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next