Reader Settings

Lile swali kidogo lilimshtua sana mheshimiwa IGP alionekana hakujiandaa kushtukizwa swali kama hilo kwa huo muda, aliguna kidogo kuliweka koo lake safi.

“Wakati lile tukio la kutumiwa sms pale mahakamani likitokea na yeye kuondoka akiwa anakimbia kama vile kachanganyikiwa hakuna sehemu yoyote ile ambayo mtu huyo alionekana japo wakati anatoka ndani ya mahakama walikuwa wote ila hatukujua alipotelea wapi na tangu hapo hajaonekana tena mpaka …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next