Reader Settings

“Ni kweli mimi ndiye niliyekuwa mtu wa kwanza kufika pale baada ya tukio kutokea nikiwa na vijana wangu, baa…….” Asp Bakari Zalimo akiwa anaanza kutoa maelezo alikatishwa na Jason

“Utaanzia hapo hapo ulipo ishia, unaweza ukaniambia kwa ufupi kwamba mlijuaje kwamba kuna tatizo pale nyumbani?”

“Mimi nilipigiwa simu na IGP akanipa maelekezo kwamba mheshimiwa jaji mkuu kaondoka mahakamani akiwa anakimbia ikionekana wazi kwamba kuna tatizo …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next