Reader Settings

Mkuu wa majeshi baada ya kutoka pale nje akiwa mwenye hasira sana alienda moja kwa moja ndani, alitamani afanye maamuzi magumu lakini kuna nafsi ambayo ilikuwa inamsuta kumuua kijana huyo kwake halikuwa chaguo la kwanza lakini kwa mambo ambayo yalikuwa yameongelewa na kijana huyo basi ilimtosha sana kwenye maisha yake kuendelea kuwa kimya juu ya hilo jambo, huenda ni kweli kijana huyo alikuwa kachanganyikiwa kwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next