Reader Settings

Chanzo ni Yeye

Sehemu ya 23

Na. Machokulenga TZ

0623238283

Saa 9 alfajiri, Dar es Salaam ilianza kuamka polepole, lakini ndani ya moyo wa Ayubu, kulikuwa na mapambano makali ya hisia na maswali. Alikuwa akitembea taratibu kuelekea Magogoni, eneo ambalo lina mizizi mikubwa ya historia na siri nyingi zilizofichwa kwenye mawimbi ya bahari na majengo ya kale.

Magogoni haikuwa sehemu ya kawaida kwa mtu yeyote …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next