Reader Settings

Chanzo ni Yeye

Sehemu ya 25

Na. Machokulenga TZ

0623238283

Usiku ulipokaribia, Dar es Salaam ilianza kupoa taratibu. Ayubu alikuwa ameketi kwenye kona ya chumba kidogo cha mafichoni akitafakari mazungumzo ya siku nzima. Mzee Solo alikuwa bado kimya, akimtazama kwa macho yaliyobeba siri nyingi. Mlinzi wa Mwanga, kwa upande mwingine, alikuwa akiandaa vifaa vya usiku huo kama kwamba alikuwa tayari kwa lolote litakalotokea.

Ayubu alihisi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua