Reader Settings

MBAGALA

Asp Zalimo baada ya kupewa taarifa aliwahi mpaka nyumbani kwa akina Nayrah, baada ya kufika eneo hilo alishtuka sana baada ya kuona kulikuwa kuna gari tatu ambazo zilikuwa ni nyeusi sana, alichukua tahadhari huku mkono wake ukiwa upo kwenye kiuno chake ili kama kuna hatari aweze kuishi nayo kwa namna itakavyo kuja, licha ya kupewa maagizo na IGP kwamba akifika hilo eneo kuna watu …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next