Reader Settings

JNIA

Mafahari wawili hawawezi kukaa ndani ya zizi moja na kama ikitokea wakawekwa pamoja basi madhara yatakayo tokea ni matatizo makubwa sana na hiki ndicho kilichokuwa kinatokea ndani ya huo uwanja wa ndege, wanawake wawili ambao walikuwa ni warembo kupita kiasi walikuwa wanashuka kutoka ndani ya ndege moja mchana wa siku hiyo, walikuwa ni wazuri tena wazuri kulipita hata hilo neno na hicho ndicho kilichoweza …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next