“Mhhhhh ndo wewe mmoja wa miongoni mwa hao watano wanao daiwa kuwa wa siri sana?” kiongozi wa hao wanaume watano ambao walikuwa wametumwa na mkuu wa majeshi ndani ya chuo cha NIT aliongea kwa sauti yake nzito baada ya kumuona mwanaume huyo ambaye hata uso wake ulikuwa hauonekani kabisa, hiyo kauli ilimshtua sana japo hakutaka kuonyesha mshtuko wa moja kwa moja.
“Hii ni hatari sana …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments