Reader Settings

Baada ya Monalisa kuondoka sehemu ambayo yeye alitoka akiwa ana maswali mengi sana kwa sababu mara kwanza alijua ni nyumbani kwa professor Michael lakini baada ya kufika hapo alikutana na mzee ambaye alimwambia kwamba yeye alikuwa anaitwa Dr Morgan, professor Michael mwenyewe alibaki ndani ametulia akipata kahawa safi baada ya kutoka kwenye mashine ambayo ilimfanya ile sura yake ya kuchonga iweze kutoka na kumrudisha kwenye …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next