Reader Settings

“Ule mpango siku ile ulipangwa kitoto sana Kwenda kutelekeleza lile tukio na naona dharau zinaweza kutufikisha sehemu mbaya sana, kwa sababu tulikuwa tunajua hii nchi wako nyuma sana kwenye suala la ulinzi lakini mwisho wa siku naona kama mambo yanaenda kuwa magumu sana kwa upande wetu sisi, nina imani ambaye alikuwa anarekodi siku ile alikuwa anajua mpango wetu kwa asilimia zote miamoja kwamba muda fulani …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next