Reader Settings

“Huyu mtoto umesema ni nani?” John Mwituka aliuliza akiwa anaiangalia vizuri hiyo picha ambayo ilikuwa kwenye simu, Jason akiwa anaonekana kwenye sura ya bashasha sana.

“Huyo ndiye ambaye anasemekana kuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa, vipi kiongozi mbona kama umeshtushwa sana na hiyo picha vipi unamjua huyo mtoto?” aliona kama mzee huyo hiyo picha anaifahamu ndiyo maana alikuwa anaingalia kwa umakini sana kana kwamba alikuwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next