Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

Hapo sasa ndipo alipopata nafasi ya kuweza kugeuka ili aweze kumuona mtu wake ambaye alikuwa amemtembelea nyakati hizo. Alikuwa ni yule bwana ambaye alikuwa amepewa maagizo muda mfupi kule kwenye behewa kwamba alitakiwa kuhakikisha anaipata begi kutoka kwa mtu huyo na kumuua kabla hajavuka kwenda Zambia ambako kidogo ingekuwa ni ngumu kumpata kwenye mataifa ya watu hayo.

“Toby yuko wapi?”

“Huyo nimemuua muda mfupi uliopita, …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next