Reader Settings

Ariana ambaye alikuwa ni mtoto wa mwisho wa IGP Lusubilo Mtindika baada ya kumaliza kipindi hicho alitoka nje akiwa yeye na rafiki yake ambaye muda mwingi walikuwa wakishinda pamoja wakiwa ndani ya maeneo ya chuo. Walikuwa wakiteta mambo yao kwa furaha kubwa sana kwani maisha kwa upande wao yalikuwa yamenyooka sana, walitoka mpaka nje ya kabisa ya chuo hicho maeneo ambayo magari ya nyumbani kwao …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next