Reader Settings

“Vipi leo umekunywa? Mbona sikuelewi, umekuja kwangu bila taarifa kwa sababu ni ndugu yangu unaruhusiwa kuingia hapa kama kwako, umeona nimekufanyia chochote zaidi ya kukukaribisha kiundugu? Niliwahi kukuomba sana kwamba uniambie kuhusu huyo mtoto ukagoma mwenyewe na mimi nikaamua kupotezea baada ya kugundua kwamba ulikuwa ukinidanganya tu sasa leo tena unaanza kuniletea mashairi yako hapa. Nimechagua njia ipi hiyo ambayo unaisema wewe? MD nakuheshimu sana …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next