Reader Settings

“Inawezekana vipi mtu wa kawaida kama wewe kuweza kuzipata hizi taarifa?” mwanaume huyo ambaye hakuwa na kitambulisho kwenye mkono wake alimuuliza Jason swali ambalo lilimfanya awape maelezo ambayo yaliwashtua na kuwatishia sana wote watatu.

“Siku ile baada ya nyie kufanikiwa kumchukua yule mwanasheria Yasinta Kobe kule kwake Sinza Mori, basi kosa ambalo ulilifanya ni kukosa umakini na kudondosha hiki kitambulisho. DH Triple not X no …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next