Reader Settings

Mheshimiwa IGP Lusubilo Mtindiga baada ya kutoka kumchukua mtoto wake kule Kisarawe, hakuongea na mtoto wake mpaka pale alipofika nyumbani kwake. Mkewe alifurahi sana kuweza kumuona mtoto wake kwa mara nyingne tena akiwa salama kabisa, mama huyo alimchukua mtoto wake huyo na Kwenda naye chumbani na mzee huyo alibakia sebuleni ili aweze kuangalia taarifa ya habari ambayo ilikuwa inaendelea asubuhi hiyo na ndipo alipo fanikiwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next