Reader Settings

"Mimi nilikuwa mtu wa kwanza kabisa kufika pale ila nilitulia na kujibanza sehemu kusoma mazingira kwanza maana nilielewa kwa ule mshkeli ambao ulitokea lazima vyombo vya usalama vingefika pale kwako muda wowote ule maana walijua kwamba familia yako ndiyo udhaifu wako mkubwa na usingeweza kabisa kuikimbia. Mimi binafsi nilitamani sana wewe ndiye uwe mtu wa kwanza kufika pale ili nipate nafasi ya kunena nawe machache …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next