Reader Settings

Mchungaji John Mwituka, alitoka kukiwa kumekucha ndani ya eneo la THE FIFTEEN GREATEST WALLS, safari yake moja kwa moja ilikuwa ni kwenda kanisani maana siku hiyo alikuwa na ibada ndefu kidogo, aliwahi na kufika kanisani hapo watu wakiwa wanampokea kwa Shangwe mno.

Kuna watu walimuita mkombozi, kuna watu walimuita baba yao kiroho na watu wengine walikuwa wapo tayari kufanya jambo lolote lile kwa ajili ya …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next