Reader Settings

Unaweza kurudi ulipoishia kupitia Maktaba.

Dakika thelathini na tano zilipita mwanaume mmoja alikuwa anaingia ndani akiwa na walinzi kadhaa huku mkononi akiwa na begi! Ni yule ambaye jana yake usiku alionekana Tunduma akiwa anatoa maagizo kwa mwanaume mmoja kuhakikisha anaipata ile begi ambayo ndiyo hiyo alikuwa nayo kwenye mkono wake.

“Wewe mjinga una sababu zipi za msingi za kukufanya uendelee kuwa sehemu ya watu wangu?”

“Kiongozi naomba unisikilize …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next