“Una miaka mingapi?” Jason alimuuliza yule mwanaume pale akiwa chini kwenye maumivu makali mno
“26”
“Mbona bado mdogo na unakubali vipi kufanya kazi za hatari namna hii?” mwanaume huyo hakujibu kitu chochote zaidi ya kumwaga machozi kwa kuvunjiwa goti lake na paja ambalo lilikuwa linamwaga damu kwa wingi sana kwenye mguu wake. Jason alisimama na kumrushia kijana huyo bastola ambayo ilikuwa kwenye mkono wake.
“Hiyo …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments