“Yuko wapi kwa sasa?” Jason aliuliza kwa pupa sana, ni kawaida kwa mwanadamu yeyote ambaye anajiona mkiwa bila kuwa na familia siku akisikia kuna familia yake sehemu fulani basi moja kwa moja hawezi kutulia atakuwa na shauku kubwa sana ya kutaka kujua kwamba hiyo familia yake iko wapi.
“Hakuna anaye jua alipo mpaka sasa” mzee huyo aliongea akiwa siriasi sana
“Mzee ujue huu sio muda …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments