“Unataka kuniambia kwamba ni wewe umemuua?”
“Ingekuwa tofauti nisingekuwa hapa”
“Kuna sababu zipi za msingi mpaka umuue askofu na unayajua kabisa madhara yake baada ya tukio kama hilo?”
“Ni siri nzito ambayo ipo nyuma ya haya yote na siwezi kukwambia kwa sababu kama ukiijua basi nitatakiwa kukuua muda huo huo”
“Umeanza uongozi wako kwa namna mbaya sana. Sasa kwanini upo hapa kwangu muda huu?”
…
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments