Reader Settings

“Siku ile mimi niliamua moja kwa moja kumuunga mkono baba yangu kwa namna yoyote ile. Sikuwa tayari kumsaliti mwanaume ambaye alihatarisha maisha yake kwa ajili yetu sisi kama wanae ili tuishi vizuri hivyo hata mimi niliivaa sura yake kwenye nafsi yangu ila kitu ambacho sikutaka kabisa kwamba aje akijue ni kwamba mimi sina uwezo wa kuzaa”

“Na hiyo ndiyo sababu kubwa ambayo ilinifanya mimi nimpe …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next