Reader Settings

Tangu lile eneo ambalo lilikuwa likimilikiwa na mwanasheria Yasinta Kobe livamiwe, lilikuwa lipo chini ya jeshi la polisi. Lakini kuna mchezo ambao ulichezwa na mambo yakabadilika hiyo sehemu, jambo ambalo lilifanyika ni kwamba, wakati hao maaskari wakiendelea na upalelezi pamoja na umiliki wa eneo hilo tangu siku ya kwanza walivamiwa na jeshi la nchi na maaskari hao wote ambao walikuwa wapo hapo waliuliwa kisha wanajeshi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next