Reader Settings

Asubuhi kulikucha salama ila hali ya nchi haikuwa salama sana, nchi iliingia kwenye taharuki kubwa sana kutokana na habari ambayo ilikuwa inazagaa asubuhi hiyo. Tangu usiku wa manane taarifa za kuvamiwa kwa mkuu wa majeshi zilikuwa zimetapakaa kila sehemu kutoka kwenye vyanzo vya karibu vyua watu hao ambapo ilisemekana kwamba tukio hilo lilikuwa limesababisha vifo vya watu wengi sana ambao walikuwa ni wanajeshi ikiwemo na …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next