Reader Settings

Wakati X anamalizana na hao watu wake huko Mwananyamala, watu ambao waliuwa wanampa kiburi sana CDF, Jason alikuwa maeneo ya Osterbay. Huko alimfuata Denilo Felix pamoja na ndugu yake, alikumbuka vyema kwamba alipewa namba ya nyumba na Dismas ambaye aliwahi kumuokoa Denilo Felix kutoka kwenye kifo hivyo alikuwa na taarifa zake. Jason lengo la kwenda huko alihitaji kukutana na ndugu yake ambaye kwake alikuwa ni …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next