Seven alikuwa mwenye dharau kubwa sana lakini hakuelewa kwamba kuna vina huwa havitakiwi kuvipima maji kwa kuingiza mikono unaweza ukakutana na mamba ndani yake, kumsogelea Jabir kiutani utani nusura apoteze sehemu zake za siri kwa teke lenye uzito ambalo liliingizwa huko kisha alipigwa na double kick ambayo ilimfanya arudi nyuma kwa hatua kadhaa. Alitabasamu kwani aligundua kwamba kwenye mapigano huyo ni mtu mzima mwenzake wala …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments