Reader Settings

Wanaume wale watano baada ya kutambua jambo ambalo lilikuwa mbele yao walitabasamu, walifurahia kwa sababu ni mwanaume ambaye walikuwa wanamfahamu. Kuna siku waliwahi kumshushia kipondo cha mbwa mwizi akiwa kwenye minyororo kisha wakamtukania familia yake kwa ukubwa jambo ambalo yeye alisema kabisa kwamba hawezi kulisamehe hata iweje hivyo walianza kumcheka akiwa mbele yao.

Wakiwa wanaendelea kufurahia jambo lile huku wanamsogelea, hawakuwa wamejiandaa na tukio ambalo …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next