Reader Settings

DAR ES SALAAM

Majira ya usiku bwana huyo alikuwa nyumbani kwake, kazi yake ilimfanya yeye kutokuwa na muda mwingi wa kupumzika na familia hivyo hata muda huo alikuwa kwenye nyumba ndogo ambayo ndiyo alikuwa anaitumia kufanyia kazi zake. Ilikuwa inaelekea saa nane za usiku lakini kwake ulikuwa muda wa kawaida tu kwenye kazi yake, usipofanya kazi ndani ya jiji basi hata kula kwake ni shida, …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next