STORY: JUMBA JEUSI
MWANDISHI: FEBIANI BABUYA
STORYTELLER: BUX THE STORYTELLER
WHATSAPP: 0621567672
EMAIL: [email protected]
AGE: 18+
EPISODE 17.
ENDELEA.......
“Nashukuru kwa kuniokolea muda kwa sababu unaonekana kuwa mwanamke muelewa tofauti na nilivyokuwa nakufikiria”
“Ni kazi gani unataka kunipatia?”
“Kuna binti unatakiwa umtafute kisha umlinde hata ikikulazimu kuyatoa maisha yako yote”
“Unamaanisha kitu gani?”
“Ni kwamba kuna binti anasoma …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments