Reader Settings

“Yes, kwa sababu alikuwa anahitaji msaada na msaada wenyewe haukuwa wake bali ulikuwa ni kulisaidia taifa hili. Nilielewa kwamba kama ningekuja mimi kukuomba uweze kuifanya kazi hii abadani usingekubali lakini kwa kupitia kuona ule uchafu ambao unafanywa na viongozi wako ndio ambao ungekupatia hasira ya kuifanya kazi hii kwa sababu unayajua vizuri madhara ya mambo kama hayo kuliko mtu yeyote yule IS-01’’ Mzee huyo alikuwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next