Reader Settings

“Hili haliwezekani” kwanza alitambua kabisa ile picha sura yake ilikuwa bandia lakini mkao wa yule mtu yeye aliutambua. Ulikuwa ni mkao wa Sadiki kijana ambaye yeye mwenyewe alimuua kwa mkono wake na kisha akaondoka na Phania. Gabriel hata siku anamuua kijana yule kuna jambo ambalo lilikuja kwenye akili yake ila alilipotezea. Sadiki alikuwa ni kijana makini lakini siku ile alipatikana kizembe na kirahisi sana kiasi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next