‘‘Rafiki yangu sina muda mrefu wa kukaa hapa na wewe’’ aliongea na kunitisha akionekana kukosa furaha.
‘‘Unanitisha Sadiki, kwanza inawezekana vipi uje kwangu kwa kunivamia namna hii?’’
‘‘Natamani tungekuwa na muda wa kuendelea kubishana hapa lakini huo muda mimi sina kwa sasa hivyo nahitaji tukae ili uaweze kunisikiliza kwa umakini’’ sikuwa na namna zaidi ya kuketi ili kumsikiliza.
‘‘Mimi natakiwa kufa Aron’’
‘‘Unamaanisha nini kusema …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments