Reader Settings

Alikuwa ametoka kutumbua pesa zake na kuufaidi ulimwengu na wakati huo alikuwa akirudi nyumbani na vijana wawili ambao alikuwa anahakikisha wanamlinda awapo kwenye hali kama hiyo. Alikuwa anatapeli pesa za watu wengi hivyo halikuwa tatizo kubwa kwa watu wake, alifunguliwa geti na gari ya bei ghali ikaingizwa ndani ya jumba hilo ambalo lilikuwa lake bwana mitambo wa kutamba. Alishuka akiwa anatukana vijana wake wakiwa wamemshika …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next