Reader Settings

‘‘Sina hizo taarifa ambazo unazihitaji’’

‘‘Wote tunajua sio kweli jaji, je unatamani tuanze kutambuana?’’

“Haitanisaidia lolote lile kwahiyo nakuomba uondoke nyumbani kwangu haraka kama heshima ya kazi ambayo umeifanya kwa miaka yote hii ila kama utaendelea kuwepo hapa basi nitawaita walinzi waje kukutoa kinguvu na unaelewa hili halitaishia hapa’’

‘‘Sina imani kama hilo ni wazo zuri mheshimiwa, nimekuja hapa kistaarabu kwa saabu pia naheshimu kazi …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next