Reader Settings

‘‘Kwizera Bizimana baadae likaongezewa la Kahigwa ili asije kushtukiwa mwenye jina. Ni jina ambalo linaturudisha nyuma kwa zaidi ya miaka thelathini ambayo imekwisha kupita. Ni miaka ambayo ndiyo imebeba historia nzima ya hawa watoto kwani ndiko ambako asili yao iliko. Hilo jina ambalo nimelitaja hapo ni jina la baba yao mzazi bwana Bizimana, mwanaume mmoja Mnyarwanda ambaye anatokea kabila la Wahutu huko Rwanda na ndiye …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next