“Huwa sipendi kubakisha ushahidi wa suala nyeti kama hili ndiyo maana kijana yeyote ambaye namtuma kwenye kazi kubwa kama hii huwa ni lazima nimuue ili nisimlipe na pia kulinda ushahidi lakini kabla ya kufanya hayo huwa ni lazima nifanye naye mapenzi kwake kukata kitu yangu’’
“Nakuelewa ni jambo jema unakumbuka kujilinda kwa sababu sheria ya kwanza ya maisha ni kwamba unatakiwa kuishi kwanza hata kama …
Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.
Comments