Reader Settings

“Hii ni sura ya mtu mmoja?”

“Whaaaaat?”

“Huyu mtu ndiye muuaji”

“Tumelitafiti hili jambo ila hakuna ushahidi wowote wa kuweza kuthibitisha hilo jambo’’

“Ebu naombeni ingizeni jina lake tuone kama tunaweza kupata taarifa zozote za huyu mwandishi’’ liliwekwa jina kwenye mtandao mara moja lakini hakukuwa na taarifa yoyote ya kumhusu bwana huyo, sehemu kuhusu ndugu ilikuwa ni moja tu nayo ilikuwa na kivuli hivyo alikuwa …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next