Reader Settings

“Sasa huyu mzee tunampata vipi?’’

“Kwanza hii kazi naomba Gabriel aletwe haraka kwa sababu hata tukimpata inaweza isiwe rahisi kumuweka kwenye mikono yetu. Njia za kumpatia ni nyingi kikubwa kama bado yupo hai, mara nyingi watu kama hawa ambaye kwa sasa lazima atakuwa mzee huwa wanahitaji utulivu, nikisema kwamba utulivu namaanisha lazima atakuwa anaishi nje ya mji eneo ambalo halina kelele kwakuwa huwa hawahitaji kuchangamana …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next