Reader Settings

Hilo linakuja kwangu, waliona kwamba kuna nguvu, kuna watu wenye uwezo, pesa ipo na netiweki kubwa lakini alikuwa anakosekana mtu ambaye anayajua maisha ya namna hiyo. Maisha ya siri, maisha ya kuishi kwenye dunia ambayo watu wengi wanaamini haipo, mimi nimefanya kazi na magenge ya kihalifu, nimefanya kazi za kuua kimkataba lakini pia nimefanya kazi kama afisa usalama jambo ambalo ni tofauti na kwako ambaye …

Imefungwa. Kuifungua tumia sarafu 1 tu.

Tafadhari Ingia/Jisajili uweze kuendelea.

Previoua Next